Thursday, June 16, 2011

Kabwe Zitto mbunge wa kwanza kutumia iPad bungeni


Mbunge Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe (CHADEMA) ambaye leo amesoma bajeti mbadala ya upinzani Bungeni, amekuwa Mbunge wa kwanza wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia teknolojia ya kisasa kufanya presentation kwenye Bunge kwa kutumia kifaa cha iPad kusoma hotuba yake.

1 comment:

  1. thats very good, Tanzania we have to couple with Technology the whole now is on the technology part. so far Zito kabwe he will a moror for Another parliament to use a New technology.

    Very good Mr.Zito kabwe

    ReplyDelete