Tuesday, August 7, 2012

Jumuia ya Kiislamu DMV Wafutarisha Pamoja na kuwaombea Dua Jamaa wote waliotangulia mbele ya Haki!

Tanzanian Muslim Community Washington Metropolitan (TAMCO) jana Jumapili katika Mwenzi mtukufu wa Ramadhani wafutarisha pamoja na kuwaombea Dua Jamaa wote waliotangulia mbele ya haki.
Waumini wakiwa katika futari iliyoandaliwa na jumuia ya Kiislamu Tanzanian Muslim Community, katika ukumbi wa Hillandale Local Park, New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland. Nchini Marekani.
Waumuni wakiwa kwenye kisoma pamoja na futari hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Hillandale Local Park New Hampshire Avenue, Silver Spring Maryland. Siku ya Jumapili Aug 5, 2012.
Bwana Omar kutoka State ya Philadelphia alimazia kwa kuwakumbusha waumini wa jumaia, umuhimu wa Dini ya Kiislam katika Mwenzi huu Mtukufu wa Ramadhani.

CHANZO: http://swahilivilla.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment