Katika kusherehekea sherehe za kuuaga mwaka 2011 mjini Babati Manyara, kulifanyika mashindano ya Vodacom Babati half marathon (KM 21). Mbio hizo zilidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom. Mgeni rasmi katika mashindano hayo alikuwa ni mkuu wa mkoa Mh.Elaston Mbwilo akiambatana na uongozi mzima wa mkoa wa Manyara yaani mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Babati, Mkuu wa polisi Mkoa, Mbunge wa Viti maalum Chadema Mh. Paulina Gekuu na Mbunge wa CCM Babati vijijini Mh. Jituson Patel.
Habari Picha na Riziki Mwalupindi
Habari Picha na Riziki Mwalupindi
No comments:
Post a Comment