Friday, November 25, 2011

Ludacris - Bada Boom


SEXY girl, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunua kinywa juu ya skendo zake ambazo ni funga kazi kwa mwaka 2011, The Udaku Master, Ijumaa limembana kwa saa moja na kumpa aya kadhaa ili afunguke, shuka nazo.

KWANZA TUJIKUMBUSHE SKENDO FUNGA KAZI ZA LULU
Miongoni mwa skendo za Lulu zilizotikisa mwaka huu ni pamoja na ile ya usagaji, masuala ya utoaji mimba na kutoka kimapenzi na mapedeshee na waume za watu.

Nyingine ni matumizi ya kinga au kondomu wakati wa tendo la ndoa, kuwa mcharuko na kubwia ulabu kama hana akili nzuri hadi kuzimika kwa nyakati tofauti kwenye klabu za starehe za usiku na hadharani huku suala la kutembea au kukaa nusu utupu nalo likitajwa kumponza.

Katika mfululizo wa skendo hizo, pia Lulu aliwahi kudaiwa kuonesha utovu wa nidhamu kwa mzazi wake (mama) kwa kumtoroka na kwenda kujirusha bila kujali kuwa yeye ni kioo cha jamii na nyuma yake kuna rundo la wasichana wadogo wanaomuiga.

Akizungumza na mapaparazi wa Ijumaa ndani ya ofisi ya gazeti hili, Bamaga-Mwenge, Dar es Salaam, Jumatano wiki hii, Lulu ambaye ni muigizaji bei mbaya kwa sasa Bongo, alichambua skendo hizo moja baada ya nyingine hadi akatokwa na kijasho chembamba.

USAGAJI
Lulu mwenye miaka 18 aliwahi kudaiwa kuwekwa kinyumba na mwanamke mwenzake aliyetajwa kwa jina la Waukweli akihusishwa na masuala ya usagaji.

Kuhusu tabia hiyo mbaya isiyovumilika, alisema: “Nilifahamiana na Waukweli kwa sababu ya mdogo wake tuliyekuwa tunasoma wote. Nilishangaa kusikia naishi na msagaji eti kisa Waukweli ambaye alikuwa na skendo hiyo alikuwa karibu na mimi. Naomba jamii ijue ukweli kwamba sijawahi na sitajaribu uchafu huo.”

UTOAJI MIMBA OVYO
Kuna madai kuwa baadhi ya mastaa wa kike Bongo, Lulu akiwa miongoni mwao, ni hodari wa kuchoropoa mimba ovyo.
Kwa upande wa staa huyo alifafanua: “Mnapo-dili na mastaa wenye tabia hiyo, naomba jina langu lisitajwe hata siku moja kwa sababu sijawahi kubeba ujauzito na sina mpango huo kwa sasa kwani nahitaji kutengeneza maisha ili hata siku nikipata mtoto awe na maisha bora.”

KUTOKA KIMAPENZI NA MAPEDESHEE
Lulu aliwahi kukumbwa na skendo ya kuhongwa nyumba na mbunge mwenye kitambi kutoka mikoa ya Kusini mwa Tanzania (jina tunalo) na baadaye ilidaiwa kuwa ukarabati wa nyumba hiyo ulifanywa na pedeshee maarufu jijini Dar (naye jina tunalo).
Kuhusu hilo, msanii huyo hot alifunguka:

“Baada ya stori ile kujaa tele kwenye gazeti lenu la Ijumaa Wikienda, mheshimiwa (huku akimtaja jina) alinipigia simu na kuniuliza juu ya suala hilo. Nilishtuka sana kwani nafahamiana naye tu ila nyumba nilijenga mwenyewe. Nilimweleza ukweli na nikamwambia mimi sijui chochote.

“Jamani! Jamani! Naomba mashabiki wangu wanielewe, sijawahi ‘kutoka’ na pedeshee yeyote pamoja na kwamba wananitongoza kila kukicha, tena wengine ni watu ninaowaheshimu sana. Siwezi kufanya kitu ka’ hicho.”

VIPI LULU ANATUMIA KINGA KWENYE TENDO LA NDOA?
Kwenye makabrasha ya Ijumaa kuna listi ya mastaa wa kike waliowahi kukiri kutotumia kondomu wakati wa tendo la ndoa bila kujali gonjwa la Ukimwi na matokeo yake waliambulia mimba wasizotarajia, kuhusu hilo, Lulu alisema:
“Nawaonea huruma sana. Haiwezi kutokea kwangu, hakuna kitu ambacho huwa niko makini nacho kama hicho kwani najali afya yangu.”

LULU MCHARUKO
Staa huyo mwenye jina kubwa ndani na nje ya Bongo kupitia filamu na video za wasanii wa Bongo Fleva, aliwahi kutamba kuwa miongoni mwa mastaa wa kike nchini yeye ni mcharuko namba moja.

Katika hilo aliweka mambo sawa: “Kwa sasa nimebadilika sana, mimi siyo yule Lulu wa zamani. Kwanza nimekua na ndiyo maana sitaki kuitwa Lulu tena, natamani niitwe Lizzy ili kuonesha kuwa mimi siyo mcharuko tena.”

UCHAPOMBE
Mara kadhaa Lulu aliwahi kuripotiwa kulewa tilalila na kufanya mambo ya aibu (hayafai kufafanuliwa kwa watoto chini ya miaka 18), alipopewa nafasi na Ijumaa kufafanua juu ya hilo, alisema:
“Nilishawaomba Watanzania wanisamehe katika hilo na nazidi kuwaahidi kuwa hali hiyo haitajirudia kwani ule ulikuwa utoto tu.”

WAUME ZA WATU
Msanii huyo kinda aliwahi kukumbwa na skendo ya kupora mume wa mtu na adhabu yake ilikuwa ni kuchanwa viwembe usoni na mwanamke ‘mwenye mali’ hivyo kumharibu vibaya sehemu ya paji la uso wake.

Akifafanua juu ya skendo hiyo, Lulu alifunguka: “(huku akipapasa kovu la viwembe usoni) sina tabia hiyo. Kilichotokea ni kwamba yule mwanamke alihisi natembea na mumewe, lakini ukweli ni kwamba jamaa alikuwa ni rafiki yangu wa kawaida tu na hata mkewe huyo alikuwa anajua kwa hiyo si kweli kwamba mimi ni hodari wa waume za watu.”

KUTEMBEA/KUKAA UCHI
Kwa kumuona tu, huwezi kuuliza kama Lulu anapenda kutembea au kukaa uchi kutokana na mavazi yake. Vilevile aliwahi kuponyokwa na maneno kinywani mwake kuwa akivaa nguo ndefu huwa anawashwa.

Katika hilo, alisema: “Napenda sana miguu yangu kwani ni mizuri ndiyo maana huwa naiacha wazi. Si kweli kwamba napenda kukaa uchi. Kuna watu wangapi mitaani wanatembea utupu lakini hawaonekani? Najua ni kwa sababu mimi ni staa ndiyo maana ni rahisi kwa watu kusema.”

MPENZI WAKE NI NANI?
Lulu: “Kwa sasa sina mpenzi. Nilikuwa naye lakini tumeachana kwa kuwa nahitaji kuwa peke yangu.”

ANATAKA KUOLEWA NA MWANAUME GANI?
Alisema: “Mwanaume yeyote atakayenipenda kwa dhati, awe staa, asiwe staa, tajiri au maskini.”

NENO LA IJUMAA
Kwetu sisi Lulu ni miongoni mwa vijana watafutaji wanaopaswa kuigwa. Ameahidi kwa kinywa chake kuwa amebadilika hivyo ni matumaini yetu kuwa atatunza maneno aliyoyatamka ili kujiwekea hazina ya heshima mbele ya jamii.


Na Brighton Masalu na Imelda Mtema, GlobalPublishersTz

GPL: SuperSport kurusha Chalenji Kiswahili


MICHUANO ya Kombe la Chalenji inayoanza leo jijini Dar es Salaam, itaonyeshwa moja kwa moja na kituo cha SuperSport cha Afrika Kusini.

Mbali ya kituo hicho cha televisheni kurusha moja kwa moja michuano hiyo inayoandaliwa na Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), habari nzuri zaidi ni kwamba, maoni ‘comments ‘ za mchezo zitakuwa zikitolewa katika lugha ya adhimu ya Kiswahili.

Ofisa Uhusiano wa MultChoice Tanzania, Barbara Kambogi, amesema wahusika katika mchakato huo wa kutoa maoni ni Ali Salim Mmanga, Jack Oyoo Sylvester, Ali Hassan Kauleni, Japheth Kahindi Charo, Florian Kaijage aliyekuwa ofisa habari wa TFF na Clifford Ndimbo aliyekuwa msemaji wa klabu ya Simba.

Aidha, taarifa ya Gary Rathbone, ambaye ni Mkuu wa Operesheni ya Supersport barani Afrika, imesema: “Soka ni mchezo wa watu, ndiyo maana SuperSport imekuwa ikifanya iwezavyo kuwafikia watu.

“Kituo chetu kupitia DStv kinawapa nafasi mashabiki wa soka wa Afrika Mashariki kuburudika zaidi kwa kuwatangazia katika lugha ya Kiswahili ambayo inatumiwa na watu wengi wa ukanda huo.” 

Muonekano wa viwanja vitakavyotumika kwenye Fifa World Cup 2022 - QATAR (Pt. 1)


Al-Gharrafa Stadium in Al-Rayyan. Major renovation. Expected capacity: 44,740.

Built in 2003 and currently with a capacity of just 25,000, the Al-Gharrafa Stadium will require significant redevelopment to achieve the vision above

**********


Doha Port Stadium in Doha. To be built. Expected capacity: 44,950.

And here's how the stadium, designed by Albert Speer Partner, will look from across the harbour.

TENGA ACHAGULIWA TENA CECAFA


Q Chief feat. Barnaba & Linah - Zamani (remix)

Thursday, November 24, 2011

Filamu Ya CPU Kuanza Kuonyeshwa Tarehe 25 Nov 2011

Evans Bukuku akionyesha Poster ya Filamu ya CPU

Sauda Simba muusika mkuu katika Filamu ya CPU



Ile filamu ya C.P.U ambayo imekuwa ikisubiriwa na Watu wengi hatimaye mwisho wa wiki hii itaweza kuzinduliwa na kuoneshwa rasmi kwa wapenzi wa tasnia ya filamu.

Akizungumza na waandishi wa habari mratibu wa filamu ya C.P.U bwana Evans Bukuku alisema kuwa “Filamu ya C.P.U kwa mara ya kwanza itaoneshwa hapo Ijumaa tarehe 25 Novemba 2011 kuanzia saa 1 na dakika 45 jioni katika ukumbi wa Sinema wa mlimani city century cinemax, kisha itaendelea kuoneshwa kwa wiki nzima muda kama huo mpaka mnamo tarehe 1 Disemba 2011.
Hivyo basi hii itakuwa fursa pekee kwa wapenzi wa tasnia ya filamu na watanzania wote kwa ujumla kwenda kupata kujionea kazi ya ubora wa hali ya juu ambayo imefanyika hapa Tanzania.Kwa wale watakaopata nafasi ya kuitazama Filamu ya C.P.U hakika watathibitisha hili.

Akizungumzia kwa ufupi juu ya Filamu hii Bw. Bukuku alisema, “ filamu ya C.P.U imetengenezwa na kampuni ya Haak neel kwa ushirikiano na Wegos Works Production ikiwa imeandikwa na Novatus Nago na kuongozwa na Karabani huku watayarishaji wakuu wakiwa ni Prof. Martin Muhando na Bw Godfrey Mahendeka. CPU ni aina ya hadithi ya kipelelezi yaani ‘Investigatory story’ ikiwa inazungumzia kitengo kilichoundwa kwa ajili ya kufuatilia na kutatua matatizo yanayowapata watoto. Hivyo Maria Isabela (Sauda Simba) anateuliwa na serikali kuongoza timu hiyo, katika hilo inabidi awashawishi watakao msaidia ambao ni Alex Kibera(Nkwabi Juma) jambazi anayetumikia kifungo cha miaka 30 jela, David Kifati(steven Sandhu) mtaalamu wa kompyuta na kijana mwenye uelewa mkubwa ambaye anatoka katika familia bora na anayependa anasa, pia kuna Rehema Mlaki (Subira Wahure) akiigiza kama msichana anyefanya kazi ya uwakili wa kujitegemea.

Baada ya kufanikiwa kuwashawishi wanaanza kazi ya kwanza ambayo kiujumla ni yenye misukosuko na inayohitaji umakini wa hali ya juu kwa kuwa ni ya hatari sana hasa wanapokabiliana na mtu kama Jibaba(Mobby Mpambala) mmiliki wa danguro kubwa hapa jiji na mzoefu wa biashara haramu.hapo ndipo utapata kuona mikiki na ufanisi uliooneshwa na waagizaji takribani 180. Filamu ya CPU ikiwa imetengezwa hapa jijini Dar es Salaam katika maeneo tofauti zaidi ya 30.
Lugha iliyotumika katika filamu hii ni Kiswahili lakini pia lugha ya kiingereza imetumika kama “subtitles”. Umri wa kutazama filamu hii ni kuanzia miaka 13.
Kiingilio filamu ya C.P.U ni sawa na kiingilio cha kawaida cha Century Cinemax

Mpaka kufanikisha tukio hili tunawashukuru wale wote waliotuunga mkono tangu mwanzo, East Africa Radio na East Africa Television, I-Noch Company Limited , waandishi wahabari wote kwa ujumla , baadhi ya Taasisi za kiserikali, mashirika mbali mbali yasiyo ya kiserikali hasa yanayohusika na masuala ya watoto na watu mbali mbali.

Unaweza kuanza kufanya booking ya Ticket yako kuanzia sasa kupitia namba 0715 246362 AU 0753 246362).

Kwa maelezo na taarifa zaidi juu ya filamu ya CPU unaweza kupata kupitia vyombo mbali mbali vya habari pia unaweza kufuatilia zaidi kupitia tovuti ya http://www.cpu.co.tz/ au http://www.filamucentral.co.tz/

Na Mwendo Mwaiseli

KONA YA MKUBWA KAMBI: JE, mwaweza kuoana dini tofauti? USIJIDANGANYE!


Kwanza
Fikiria wewe ni mkulima na unataka kutumia jembe la kukokotwa na ng’ombe kwa ajili ya kulima shamba. Kwa kuwa una Ng’ombe mmoja (dume) na Mbuzi mmoja (beberu) unaamua kuwafunganisha nira (yoke) ili uwatumie kukokota jembe na shamba lilimwe.

Ukweli huu ni uvivu wa kufikiri na ni kutaka kusababisha maafa.
Anyway mtu yeyote mwenye akili timamu atajua ubongo wako una matatizo kwani haijawahi tokea mbuzi na ng’ombe wakafungwa nira pamoja na shamba likalimwa.

Linapokuja suala la ndoa au mahusiano wapo watu ambao huamini kufungwa nira pamoja na mtu wa imani tofauti haina tatizo kama kwa ng’ombe na mbuzi kufungiwa nira moja na tayari kwa kulimba shamba.

Pili
Kawaida ikiona kuna alama ya NO EXIT kuingia humo lazima ufikiria mara mbili Kitendo cha kutoa ahadi kwamba Hadi kifo kitakapotutengenisha ukweli binadamu unakuwa ume –launch moja ya ahadi za pekee duniani.
No turning back, no escape route kulia au kushoto, wawili mnaingia kwenye life boat, hakuna kwa kwenda zaidi ya kubaki na huyo umemkubali.

Ukweli ni kwamba mtu mwenye akili timamu akiambiwa nyumba unayoingia haina EXIT atafikiria kwa makini zaidi na zaidi ya mara mbili.

Kazi yako ipo well defined hakuna kutoka, hapa nazungumzia mtu ambaye kweli yupo serious kwanza kuhakikisha ndoa yake inampa Mungu utukufu .
Na kwamba suala la dini na imani ni muhimu sana kwake otherwise hakuna shida.
Mambo ambayo wakati mwingine huleta shida sana kwenye ndoa ni dini, rangi (race) na taifa hata hivyo linaloweza kuwa mwiba mkali ni suala la dini.

General rule ni kwamba “The more couples have in common the better the chance of success”

Ukweli unabaki palepale kwamba waumini wa kweli wa dini tofauti (let say muislam wa swala tano na mkristo aliyeokoka) wakioana kuna uwezekano mkubwa kukumbwa na matatizo yanayohusiana na dini katika ndoa yao.
(Najua ukianza kuzungumzia dini unaweza kuwasha moto ambao kuzima ni ngumu hata hivyo lazima kuongea ukweli)

Watu ambao hupuuza hiki kipengele baada ya kuoana wanayo ya kusimulia kwa masikitiko.
Jambo la msingi kabla ya kuoa au kuolewa ni vizuri kupata solution ya suala la dini au suala la imani, usijidanganye kwamba mkioana utanyoosha kwa pasi ya umeme kirahisi suala la hili la dini, hapa unahitaji kuwa genius tumia akili zako zote kuhakikisha umejua nini hatima yake.

Unaweza kuvuka mito mingi tu lakini mto wa dini ni lazima uvuke ukiwa makini kabisa maana unaweza kuzama mbele ya safari.

Je, mtasali wapi na kivipi, na watoto wakizaliwa watakuwa dini gani na dini ya mwenzako ina amini vipi kuhusu ndoa?
Ni maswali ya msingi sana.

Wengi huona hii ni issue ndogo sana na tutakabiliana nayo tukiona sasa muhimu ni love maana nampenda kuliko suala la dini.
Ukweli vitu vidogo ndo hupelekea ndoa kwenda shimoni.
Na kuacha kujadili sasa haiwezi kumaliza tatizo baadae, kumbuka
“the sooner the better”
au niseme
“the more you solve now the greater your compatibility later.

Imani ya dini ni moja ya njia mke na mume huwa connected, dini ni big deal na zaidi ili ndoa iwe strong haina budi kuwa na 3 layers yaani connection ya kimwili, kihisia (emotions) na kiroho na bond ambayo hushika ndoa (siyo sex) mara nyingi ni kiroho.

"Marriage is not a trial like foreign dish sampled to see if it is tasty"


Na Mkubwa Kambi (Maisha na Ushauri)

Nelly’s Production School To Open In Saint Louis Next Week


Nelly’s new recording school will open at the end of this month in St. Louis, Missouri.

The rapper’s Vatterott College ex’treme Institute by Nelly-St. Louis will begin classes on November 28.

The 9,000 square-foot facility, which is located at Laclede’s Landing in downtown St. Louis, houses a recording studio, a music engineering space, and a design studio.

Students enrolled in the program create album covers, recordings and other merchandise and music related material.

The school seeks those who wish to become professionals in a variety of sectors in the music business.

“Working with Nelly and his team has been an exciting opportunity for us at Vatterott College,” said Pam Bell, Chief Executive Officer and President of Vatterott Educational Centers, Inc. “Nelly has shown such commitment to the people of St. Louis and is taking great steps in training the next generation of music producers. We couldn’t be more excited to partner with one of St. Louis’ most celebrated music artists.”

For more information and a complete list of the offered courses, visit www.eibynelly.com.

Posted By Mike Winslow

M.O.P. Releases New Album “Sparta” with Celeb-Packed Concert in NYC



Last night (November 21) at Santos Party House in New York City, iconic rap duo, M.O.P., put on a star-studded concert to celebrate the release of their new album Sparta. Running through hit after hit, the show, which was billed as “featuring surprise guests,” soared to new heights with each “surprise.”

Not only did the night include a short but special set by DJ Premier himself on the 1′s and 2′s before the Mash Out Posse took the stage, once they touched down, they brought out some amazing guests including Black Sheep’s Dres, Pharoahe Monch, Styles P., and more to rock their own hits alongside the M.O.P. boys, Billy Danze and Lil Fame.

by JP DelaCuesta

Madenti wakodi mabasi kwenda shoo ya Sugu Ustawi



SHOO ya uzinduzi wa mix-tape ya Anti Virus inazidi kubamba, upo uwezekano ikajaza nyomi ambalo halijawahi kutokea kutokana na ahadi ya wanafunzi wa vyuo vikuu kwamba watakodi mabasi kwenda kwenye viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama, Dar.

Anti Virus itasababishwa na Vinega Novemba 26, 2011, kuanzia saa 12 jioni mpaka 6:00 usiku na katika kuhakikisha wanashuhudia makamuzi ya maana, wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini, wameahidi kukodi mabasi matatu ya kuwasafirisha kwenda kwenye shoo hiyo.

Wanafunzi wa Tumaini Dar, wamemuandikia SMS, kinega mkuu ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, wakimueleza kuwa madenti wa vyuo vikuu wapo naye katika harakati za kuwakomboa wasanii wa muziki wa kizazi kipya.

“Wanakuita Sugu… Sugu… Sugu…Sugu! Kaka sisi wanafunzi wa Tumaini University ya DSM, tumeamua kukodi mabasi matatu ya UDA ili kuja katika shoo yako na Vinega hapo Viwanja vya Ustawi wa Jamii,” ilisomeka SMS hiyo.

Mratibu wa shoo hiyo, Fred Mariki Mkoloni alisema kuwa jukwaa na muziki (sound) ni vya kiwango cha juu na kwamba kinachosubiriwa siku hiyo ni wasanii Anselm Ngaiza ‘Soggy Dog,’ Suma G, Mapacha, Dani Msimamo na wengine kibao wakiongozwa na Sugu kuwasha moto wa gesi.

Habari na GlobalPublishersTz

Fat Joe And Chris Brown Film Video For New Song “Another Round”


Fat Joe and Chris Brown are the newest artist to collaborate. The musicians recently filmed an Egyptian themed video for their new song Another Round. In the video we’ll get to see Chris wearing the same Versace for H&M velvet jacket that Kanye West, Diggy Simmons, and Swizz Beatz have been seeing. Apparently, that’s this jacket is the hot thing for this season! We also get to see Fat Joe’s new slim body! Look inside to see how the collaboration came about!

Fat Joe told Rap Up how the collaboration came up:

I’ve known him for years and we toured together in Africa and he was like, ‘We gotta do something.’ I’m like, ‘You are the hottest ni**a in the game right now; why wouldn’t I want to do something with you?’. He always told me that for years but at the time, he was like 15, 16 and just so young. I was like, ‘Yo, it wouldn’t even be right.’ But now he’s a grown ass man, so it makes sense.”

Are you excited to hear the new material?

Spotted @RapUp

New Video: Snoop Dogg And Wiz Khalifa “Young, Wild, And Free”



Snoop Dogg and Wiz Khalifa have teamed up to make a song titled Young, Wild, and Free. The song will be featured on the soundtrack for their new movie Mac & Devin Go To Highschool. The movie looks to be interesting as it follows a young man who is set to be a Valedictorian (Wiz) but has no real life experiences and a 15 year senior (Snoop) in their struggles to gain the things they want the most. Meanwhile in the new song, Wiz talks about what he does best, smoking, while Snoop Dogg shows the rap skills that he debuted when he first came out. Check inside for the new video and to see what other plans the two have for the new movie.

To support their project, Snoop and Wiz will go on a six city tour. Interested in seeing the two perform live together? Here are the dates and locations for the tour:

Dec. 5 New York, NY Terminal 5

Dec. 6 Philadelphia, PA Electric Factory

Dec. 7 Washington, D.C. 9:30 Club

Dec. 10 Atlanta, GA Tabernacle

Dec. 12 San Francisco, CA The Warfield Theatre

Dec. 13 Los Angeles, CA The Wiltern

Here is the complete tracklisting for the soundtrack (which is primarily done by Snoop Dogg and Wiz) that will be released December 13th.

I think it’s great to see the old and new collaboration. More unity in hip hop is needed. What are your thoughts on the new video? Will you be going to see this movie?

Posted by FreddyO

NOT AGAIN!!! It Looks Like LisaRaye Is Getting MARRIED AGAIN . . . This Time To One Of The Most PROMINENT PASTORS In All Of The U.S!!!




MediaTakeOut.com just heard a rumor that LisaRaye is engaged to mega pastor Noel Jones, who is the brother of Grace Jones!

According to the streets, LisaRaye has been been dating the well-known pastor of the 5000 member City of Refuge for quite some time and it looks as though they’re taking it to the next level. LisaRaye is best known for marrying the premiere of the Turks And Caicos - and brought down his ENTIRE REGIME. After LisaRaye left, Turks and Caicos returned (after nearly 100 years of freedom) to being a British colony.

Pastor Jones is no ANGEL himself. He reportedly had a . . . AHEM . . . friendship with Atlanta Housewife NeNe Leakes, while she was SUPPOSEDLY happily married to her husband Gregg.

But it gets better. We're also hearing that LisaRaye is trying to shop a reality show on behalf of Pastor Jones, called Keeping Up With the Joneses.

This has HOT MESS written all over it!!!

GPL: DAR usiku hamnazo....full bata!






Habari Picha na GlobalPublishersTz

Chelsea stunned, Arsenal finish top

Chelsea were beaten 2-1 by Bayer Leverkusen after a last-minute header means they must wait to qualify from the Champions League.

For the third time on their travels in Group E, the Blues took the lead, Didier Drogba scoring his second goal of the season shortly after half-time.

But, as against Valencia and Genk, the visitors threw away victory, Eren Derdiyok equalising before Manuel Friedrich completed the comeback in stoppage-time.

Valencia will face the Blues in their final group game with a place in the last-16 at stake after a 7-0 thrashing of Genk.

Jonas scored a 10th-minute opener and Roberto Soldado's first-half hat-trick finished the job before the 40th minute. Goals from Pablo Hernandez, Aritz Aduriz and Tino Costa then turned it into a rout in the second half.

Arsenal qualified for the Champions League knockout stages for the 12th consecutive season after Robin van Persie's double gave the Gunners a 2-1 victory over Borussia Dortmund at the Emirates Stadium.

Van Persie took his 2011 goal tally to 33 in 30 matches by heading home Alex Song's cross, following a great run from the midfielder, before adding a second from close range four minutes from time after Thomas Vermaelen's flick-on.

A win seemed unlikely for the home side after Dortmund dominated the first half, but they faded in the second period before pulling one back in injury time through Shinji Kagawa.

Ioannis Fetfatzidis scored the only goal as Olympiakos overcame Marseille 1-0 at the Stade Velodrome.

The substitute scored seven minutes after he stepped foot on the pitch to give his side a potential lifeline to reach the knockout stages. The result leaves Marseille second in the group, four points behind Arsenal.

Barcelona secured top spot in Group H after leading AC Milan three times to win 3-2 at the San Siro.

The Italians equalised twice through Zlatan Ibrahimovic and Kevin-Prince Boateng after Barca had twice led through Mark van Bommel's own goal and Lionel Messi's 31st-minute penalty. But Pep Guardiola's side wrapped up a commendable win through Xavi's finish just after the hour mark as Barca, who like Milan had already qualified for the last-16, ensured top spot with a game to spare.

Czech side Plzen leapfrogged BATE Borisov into third place with a 1-0 win putting them one step closer to claiming a place in the Europa League. Marek Bakos' goal just before half-time proved to be the difference in a match which was shrouded in fog at the Dinamo Stadion in Minsk.

APOEL Nicosia became the first Cypriot side to qualify for the knockout stages as they dug in for a goalless draw at Zenit St Petersburg.

The visitors came under intense pressure at a freezing Petrovski Stadion, barely registering a shot on goal as they set out for a point, but clung on to remain top of Group G.

Zenit could face punishment from UEFA for an incident in the second half which saw referee Felix Brych take the players from the field because of smoke from a flare in the stands.

Porto snatched a 2-0 victory at Shakhtar Donetsk to set up a shoot-out with Zenit St Petersburg for a place in the last 16. The hosts twice hit the woodwork before being undone by Hulk's strike 11 minutes from time. Razvan Rat's stoppage-time own goal added insult to injury.

It meant any hopes of Shakhtar reaching even the Europa League disappeared, while Porto will need to beat Zenit at home to claim the second qualification spot.


By ESPNsoccernet staff

Wednesday, November 23, 2011

Mchungaji Atembezwa Uchi Arusha

MVUTANO mkubwa umeibuka baina ya jamii ya wafugaji (wanaoabudu mila na desturi) na wachungaji wa madhehebu mbalimbali ya kidini wilayani Arumeru na kusababisha baadhi ya wachungaji kuzikimbia familia zao wakihofia kuuawa. Katika hali isiyokuwa ya kawaida mchungaji wa kanisa la Matendo, (Pentekoste),Julius Lukumay (34)amekiona cha moto baada ya kujikuta akitembezwa uchi wa mnyama kwa siku mbili mfululizo na jamii hiyo ya wafugaji kwa madai ya kukataa kushiriki kikao cha kimila. Ilidaiwa ya kuwa adhabu hiyo imetokana na mchungaji Lukumay kukaidi kulipa faini ya shilingi 500,000 aliotozwa na jamii hiyo kwa kile kilichoelezwa kwamba aliwashitaki wazee wa kimila katika ofisi ya mtendaji wa kijiji cha Siwandeti wilayani humo akiwatuhumu kuendesha mambo mbalimbali yasiyofaa. Hali hiyo imesababisha wachungaji wengine zaidi ya 7 wa makanisa ya kipentekoste kutimka majumbani kwao na kukimbilia kusikojulikana ,wakihofia kukamatwa na kupewa adhabu kama hiyo ya kutembezwa uchi na jamii hiyo ya wafugaji, ambapo kwa muda mrefu jamiia hiyo na wachungaji wamekuwa hawaivani. Mchungaji Lukumay anadai kutembezwa uchi akiwa amefungwa kengere na bati lenye maandishi shingoni, katika vijiji vya Mringaringa,Kiranyi ,Kemnyaki,Ngaramtoni ,Olevolosi , Eleray huku vijana hao wanaodaiwa kuamuriwa na wazee wa mila wakimwimbia nyimbo za kumkejeri. Udhalilishaji huo kwa viongozi wa dini umekuwa ukijirudia mara kwa mara wilayani humo , ambapo miaka kadhaa iliyopita ,wakazi wa maeneo hayo wanakumbukumbu ya mchungaji mwingine kufanyiwa vitendo vya kinyama kwa kutembezwa uchi huku kundi la vijana na watoto wakimdhihaki kwa nyimbo na maneno ya kejeri,akituhumiwa kupinga tohara. Akizungumza na wandishi wa habari alipokuwa amelazwa katika hospitali ya Seliani ,iliyopo eneo la Ngaramtoni baada ya kupata majeraha kadhaa ya kupigwa na kuishiwa nguvu,Lukumay alisema kuwa watu hao wamemdhalilisha sana baada ya kumvua nguo zote kisha kimtembeza uchi mbele ya watoto wadogo. ''kwa kweli wamenidhalilisha sana ,kwanza mimi ni mlokole nina familia na watoto wanne nampenda yesu ,nilishawaambia dini zetu haziruhusu kuingiliwa na mambo ya kimila,sasa hawaelewi wanashindwa kutengenisha masuala ya kidini na mila za asili ''alisema Lukumay huku akionyesha majeraha kadhaa yaliyotokana na kipigo. Mchungaji huyo alidai kwamba,polisi waliofika eneo hilo siku ya pili ndiyo waliomwokoa, kwani bila wao bila shaka mauti yangemfika kwa kuwa watu hao walikuwa na dhamira mbaya maana walimpiga na kumburuza kama alivyofanyiwa yesu Masiha na Wayahudi. Aidha ameiomba serikali kuingilia kati kwa kuwa mila za makabila hayo zimekuwa zikitumika vibaya ikiwemo kuwanyanyasa pale inapobainika kwamba wamejitenga na mila hizo na kuokoka. Nae katibu wa umoja wa wachungaji wa madhehebu ya kipentekoste,Joseph Kaondo amelaani kitendo hicho na kulitupia lawama jeshi la polisi kwa madai kwamba limeshindwa kudhibiti vitendo vya udhalilishaji wanavyofanyiwa watumishi wa mungu . Alisema wazee jamii ya wafugaji ndio wamekuwa wakiongoza kuwaamuru vijana kufanya msako dhidi ya wachungaji na kuwakamata , kisha kuwafanyia vitendo vya udhalilishaji bila kuchukuliwa hatua zozote. Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha,Akili Mpwapwa alikiri kupata taarifa hizo na kudai kwamba anazifanyia kazi ikiwepo kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo ''ni kweli nimepata taarifa ila sisi kama polisi tunafanya uchunguzi ili kujua undani wa tukio hilo''alisema.

NA GLADNESS MUSHI WA FULLSHANGWE -ARUSHA

Breaking News: Ajali Mbaya River Side Ubungo

katikati ni gari ndogo nyekundu iliyokandamizwa chini ya gari kubwa jeupe la mafuta. kuna mtu yuko hai bado hajatolewa. habari zinasema watu watatu wamekufa kati yao mama mjamzito ambaye kichwa na kiwiliwili vimetengana



Baadhi ya watu katika eneo la ajali
Na Mjengwablog

EPISODE 4: MediaTakeOut.com Presents First Date

Cavani brace leaves City on the brink


Manchester City's Champions League hopes hang by a thread after a brace from Edinson Cavani handed Roberto Mancini's men a 2-1 defeat at Napoli.

City now need to beat German giants Bayern Munich in their final game in Group A to stand a chance of going through to the knockout stages and also require whipping-boys Villarreal to beat Napoli.

Manchester United were held 2-2 at Old Trafford by Benfica, who consequently top Group C, and now have to avoid defeat in Basel next month to secure qualification.

United were without Wayne Rooney on account of injury and they lacked his drive, as Benfica overwhelmed them early on. The Portuguese side pressed forward and were gifted an opening goal on three minutes, as Phil Jones stuck out a leg to clear a cross and shinned it into his own net. It could have been far worse as Bruno Cesar and Javi Garcia went close to adding to the lead.

Rooney's absence handed Dimitar Berbatov a rare start and he took full advantage by planting a superb header into the corner on the half hour to draw United level.

It looked like United had weathered the storm as they started the second half like they had been given a rocket by Sir Alex Ferguson and Darren Fletcher fired United ahead on 59 minutes. The lead lasted just one minute, as a poor kick from David De Gea put United in trouble and Pablo Aimar was on hand to turn the ball home after Rio Ferdinand unluckily failed to make the clearance.

Basel, who United face in a showdown for second place in Group C on December 7, beat Otelul Galati 3-2 at the Stadionul National thanks to some ruthless finishing from Fabian Frei, Alexander Frei and Marco Streller.

Manchester City were undone by Cavani, a player they have been heavily linked with in recent weeks. Mancini played down the prospect of signing the striker in the build-up to the game but the City boss may well be reassessing that statement after the Uruguayan sunk his side in Naples.

City arrived in Italy knowing a win would take them into the knockout stages, but roared on by their vociferous fans Napoli started like a train and Marek Hamsik passed up a great headed chance inside ten minutes.

Joe Hart produced a brilliant save to tip over Gokhan Inler's stinging drive. But from the resulting corner, City fell behind. Cavani stole in at the near post to flick on a header and with City declining to put a man on the near post, the ball squeezed between Hart and the woodwork.

With City riding high in the Premier League, they believe they belong among Europe's elite and their workrate earned them a leveller - with Mario Balotelli on hand to stab the ball home after the ball was parried into his path by Morgan De Sanctis.

Cavani's opener had a touch of fortune about it, but there was nothing fortunate about the second - with the forward showing superb technique to make crisp contact with a low volley that proved much too hot for Hart to handle.

How the scoreline finished 2-1 is not clear, as Napoli missed a string of chances - Hamsik hit a post and Christian Maggio failed to ram home an opening - while at the other end Balotelli was denied by De Sanctis and Samir Nasri fired over from six yards.

Bayern Munich secured themselves a berth in the knockout stages and first place in Group A with a 3-1 win over Villarreal, who bid to farewell to Europe as they are guaranteed to now finish in bottom spot.

Franck Ribery and Mario Gomez netted in the opening 23 minutes to give Bayern a flying start and Ribery then wrapped up the scoring with his second after Villarreal had pulled a goal back through Jonathan De Guzman.

Real Madrid wrapped up top spot in Champions League Group D in emphatic fashion by thrashing Dinamo Zagreb 6-2.

The Spanish giants stormed into a 3-0 lead over Dinamo Zagreb inside nine minutes with goals from Karim Benzema, Jose Callejon and Gonzalo Higuain, and Mesut Ozil made it four before 20 minutes were up.

Callejon and Benzema struck again after the interval and Madrid could have had even more goals, while late strikes from Dinamo's Fatos Beqiraj and Ivan Tomecak gave a merely cosmetic effect to the scoreline.

Ajax all but booked their place in the last 16 of the Champions League after a battling goalless draw on the road at Lyon. The 0-0 result means the sides remain separated by three points heading into the final round of fixtures, with second-placed Ajax needing to avoid defeat at home to Group D winners Real to be sure of progressing.

Lille re-ignited their hopes of progressing after claiming a deserved 2-0 victory over CSKA Moscow. Lille had only picked up two points from their opening four games but they recorded their first win in Group B thanks to second-half goals via CSKA defender Vasili Berezutsky, who put into his own net, and Moussa Sow.

Inter Milan reached the knockout stages and guaranteed top spot in Group B after Ricardo Alvarez's first-half goal helped them to a 1-1 draw at Trabzonspor. Inter started the night with their progress already guaranteed after group rivals Lille beat CSKA Moscow in an earlier kick-off, but the point in Turkey was enough to ensure they cannot be caught in top spot.

By ESPNsoccernet staff

Tuesday, November 22, 2011

MTO WORLD EXCLUSIVE: New EVIDENCE . . . That Suggests Beyonce Is Wearing PROSTHETIC BREASTS!!!




Yesterday Beyonce was out promoting her NEW DVD. She looked AMAZING as usual. But she accidentally let what appears to be a PROSTHETIC slip out.

Now we can't say for CERTAIN that's a prosthetic, but it sure as HECK looks like one. Which makes us ask the question - Gee we wonder why a PREGNANT WOMAN - who is supposed to have a BIGGER BUST would need prosthetics? We also wonder what OTHER prosthetics the chick has on . . . .


Posted By MediaTakeOut

Adebayor fires Spurs third


Harry Redknapp enjoyed a successful return to the Tottenham dugout as his side moved into third place in the Premier League table with an easy win over Aston Villa at White Hart Lane.

Emmanuel Adebayor scored his fourth and fifth goals of the campaign in a hugely one-sided affair that should have seen the former Arsenal striker take home the match ball.

Adebayor, who had not scored in his previous six games, put Spurs ahead with a brilliant scissor kick in the 14th minute before he took advantage of a mix-up between Shay Given and James Collins to stab home from less than a yard for his second five minutes before half-time.

The on-loan striker wasted two gilt-edged opportunities for his hat-trick, but his failure to bag a third should not detract from what was a classy display from the home side which stretched their unbeaten run to nine matches - eight of which have been wins.

Luka Modric, Rafael van der Vaart and Scott Parker were all outstanding in a victory that also proved the perfect way for Redknapp to mark his comeback after the heart scare which caused him to undergo surgery three weeks ago.

Before the match began, the home fans greeted Redknapp's appearance at the dugout with warm applause and he also received a hug from opposite number Alex McLeish.

The 64-year-old spoke of how he felt ''rough'' watching Spurs' nerve-jangling win at Fulham from home on the television two weeks ago, but he had little reason to be worried tonight as his team stamped their dominance on the game from the off.

Indeed, it was McLeish who had the more frantic time early on as he watched his side hit by a series of Tottenham attacks.

The first time Redknapp took to his feet was in the 11th minute when Aaron Lennon collected a cross-field ball from Benoit Assou-Ekotto and whipped in a curling cross that Adebayor somehow headed wide from eight yards.

The striker redeemed himself two minutes later by putting Tottenham ahead.

After seeing Younes Kaboul's shot cleared off the line, Van der Vaart whipped in a corner that fell to Gareth Bale. The Welshman hammered a miscued effort that flew up in the air and Adebayor was on hand to convert an acrobatic effort from 10 yards.

Spurs had their tails up and pushed for a second. Modric side-footed just wide before Van der Vaart ploughed an ambitious shot into the side-netting.

Former Spurs man Darren Bent looked isolated up front for Villa and he had to wait until the 24th minute for his first sniff of goal, but Parker appeared from nowhere to execute a perfectly-timed sliding tackle.

Just before half-hour mark Adebayor nutmegged his marker to send Van der Vaart galloping free, but the Dutchman's audacious attempt to lob Shay Given failed and the ball sailed over the Villa goal.

A rare error from Parker allowed Gabriel Agbonlahor to break down the left but Kaboul powered back to steal the ball from the striker.

The home fans mocked the away side's performance, but Tottenham still only had one a one-goal advantage despite their dominance.

That changed five minutes before half-time when Adebayor made it 2-0.

Collins' failure to clear Bale's low ball caught Given unawares, causing the 'keeper to fumble the Welshman's cross into the path of Adebayor, who made no mistake from less than a yard.

Brad Friedel made his first save of the game to deny Emile Heskey just after the break, but Spurs were soon back in the ascendancy.

Adebayor should have grabbed his hat-trick when he broke clear, but he could only shoot wide when clean through.

Kyle Walker then flashed a 20-yard drive just past Given's right-hand post before Adebayor curled a brilliant shot inches wide.

Jermain Defoe came on for Van der Vaart with 20 minutes left.

Another chance for Adebayor to notch his third came and went 13 minutes from time when he shot straight at Given after the Republic of Ireland stopper fumbled another cross - this time from Modric, who was putting in one of his best performances of the season.

Collins was then on hand to block Assou-Ekotto's goal-bound shot as Tottenham continued their pursuit of a third.

Modric received a standing ovation when he was replaced by Sandro in injury time shortly after Parker blazed over.

Defoe shot over seconds later and Spurs had to settle for a two-goal victory margin, which Redknapp toasted at the end by saluting the applauding Tottenham fans.

Monday, November 21, 2011

Reginae Carter celebrates at her 13th Birthday Party With Toya Wright & Lil’ Wayne

Reginae Carter, daughter of Toya Wright and Lil’ Wayne had one of the worlds biggest Cinderella-themed birthday parties I have ever seen.

The party was every little girl’s dream put together by two of the greatest women, ChefAshley and Toya Wright.

Princess Reginae arrived in a horse drawn carriage to a castle. Lil’ Wayne and Toya are making it hard for any little boy that thinks he is going to date Reignae when she gets older! After being escorted into her castle, she was whisked away for a moment.

Reginae is loved by many (of course she is a daddy’s girl) as evident of the 2 buses full of loving friends and family brought from New Orleans to celebrate with her on special night. Guests danced the night away, enjoyed the airbrush t-shirt party keepsakes, cute snaps at the photobooth, and the candy room was off the chain. You all know, if food is there, I’m there.

The best part of the night was watching how dope Lil Wayne was with everyone. You know a lot of times you may be with or around celebrities that are over the top and rude, but Lil Wayne mingled with his fans, took pictures with anyone that asked to take pictures no matter who they were. Big ups to Lil Wayne and family.

T.I. and Tiny were there with their loving family to celebrate with her too! Be on the look out for their reality show. It is so funny to see how their sons are growing with their swagger on a thousand. We know they are going to be kings too.

Future Attorney, Baby Aiden was there with his parents Phaedra Parks and Apollo.

Baby, Reginae’s godfather and his daughter was there to celebrate.


By FreddyO

S. African teacher hacked to death in front of class

A teacher was hacked to death with a machete in front of a shocked classroom of primary school students in South Africa, media reports said on Thursday.

Guilford Shapo, 53, was killed Tuesday at Masehlong Primary School in the northern town of Polokwane, where he was observing seventh-grade students taking an exam, SABC public radio reported.

His 40-year-old brother, who has not been named, has been charged in the case, it said.

"We were alerted by the pupils as they screamed and ran out of the mobile classroom," principal Noko Moabelo told The Star newspaper.

"Mr Shapo was the only male teacher at the school. As women, none of us could take the risk of approaching the suspect," she said.

Neighbours heard the screams and dashed to the school, where they restrained the man as he was still hacking at his brother's body, the paper added.

Violence plagues many of South Africa's schools. A 46-year-old high school teacher was arrested Wednesday outside Johannesburg on charges of raping 11 students, police said.

A survey of South African school boards released in July found that 29 percent believed sexual harassment by teachers was a top problem in their classrooms.

The latest police statistics show that South Africa's murder rate is at the lowest level since the end of white-minority rule in 1994, but it remains among the highest in the world with nearly 43 killings a day.


@yahoonews

ALICHOKIUNGANISHA Mungu, mwanadamu hawezi kukitenganisha! Hatimaye lile muvi la mwaka lililochukua nafasi wiki iliyopita la kuvunjika kwa ndoa ya Irene Pancras Uwoya na Hamad Ndikumana ‘Kataut’, limemalizika kwa uzuri, wapendanao hao wamerudiana, The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda limeshiriki kwenye mchakato huo ‘eituzedi’.

HALI ILIKUWAJE?
Baada ya Uwoya kutangaza kuachana na mumewe waliyedumu kwa takribani siku 822 na habari hiyo kutikisa mtaani, sistaduu huyo mkali wa filamu za Kibongo alimtafuta mumewe ili wayamalize, lakini jamaa akamtolea nje.

NDIKUMANA ANAFUNGUKA
Saa 4:00 asubuhi ya Alhamisi, nyumbani kwa wazazi wa Uwoya maeneo ya Mbezi Jogoo, Dar, Ijumaa Wikienda lilijaa tele ambapo lilipokelewa na Ndikumana aliyefika kumjulia hali mama mkwe wake kwa kuwa alikuwa mgojwa kwa siku tatu.

Ndikumana alifunguka: “Ni kweli nilikuwa sipokei simu ya mke wangu (Uwoya) kwa sababu alinidhalilisha sana kusema hakuwahi kunipenda.

“Nilimpa sharti la kuwaomba msamaha wazazi wake na wakimsamehe, mimi sina tatizo naye.
“Kweli mke wangu amefanya hivyo kwa watu wote na anajutia kwa kauli yake hiyo.
“Natamka kutoka moyoni mwangu, sina kitu rohoni na nimemsamehe mke wangu.

MAISHA LAZIMA YAENDELEE
Katika mahojiano na Ijumaa Wikienda, Ndikumana alisema kuwa kutokana na mambo yote yaliyotokea, lazima maisha yaendelee hivyo watu waiombee ndoa yao iwe imara zaidi.

HATIMAYE WASHIRIKI JOTO LA WANANDOA
Wakati hayo yakiendelea, kazi ya Ijumaa Wikienda ilikuwa ni kutoa somo la namna ya kuvumiliana kwenye ndoa huku wahusika wakiipokea elimu hiyo kwa mikono miwili.

Hata hivyo, baada ya somo kuwakolea, wanandoa hao waliojaliwa mtoto mmoja wa kiume, Krish walisogeleana, wakatazamana usoni wakilengwalengwa na machozi ya furaha.

Katika kuonesha kila mmoja ‘alimisi’ joto la ndoa kutoka kwa mwenzake, Uwoya na Ndikumana walikumbatiana kimahaba na kubusiana. Kila mmoja alionekana kuwa na ‘ukame’ na mwenzake.

UWOYA AJUTA TENA MBELE YA MUMEWE
Neno najuta…najuta…najuta, lilikuwa halikauki kinywaji mwa Uwoya, alimwambia tena mumewe mbele ya Ijumaa Wikienda: “Mume wangu najuta, ilikuwa ni hasira tu, naahidi sitarudia tena na nakupenda sana Hamad (Ndikumana).”

NINI KITAFUATA?
Baada ya kukubaliana kurejesha heshima ya ndoa, Ijumaa Wikienda lilitaka kujua mipango ya maisha yao itakavyokuwa ambapo Ndikumana, huku akiwa ameshikilia kiuno ‘babkubwa’ cha Uwoya alisema:
“Tupo hapa kwa mama kwanza tunamlea mtoto wetu na wazazi wanataka tukae hapa kwa muda ili waangalie mienendo yetu.”

UWOYA AHOFIA IJUMAA WIKIENDA LIKING’OA NANGA MAMBO YATAKUWA MABAYA
Katika hali ya kushangaza, wakati timu ya Ijumaa Wikienda ikitaka kung’oa nanga kurejea ofisini, Uwoya aliomba Ndikumana aulizwe tena kama kweli waandishi wakiondoka hali haitakuwa mbaya.
Ndikumana: (Huku akicheka na kumbusu Uwoya) Sina kinyongo moyoni mwangu, nimemsamehe saba mara sabini.”

NENO LA IJUMAA WIKIENDA
Sala, dua na jitihada zetu za kutaka wawili hao warudiane zimefanikiwa kurejesha amani na matumaini yaliyopotea katika ndoa ya dada yetu na mwanasoka huyo wa Rwanda. Tunawatakia kila la heri- Mhariri.

Na Ijumaa Wikienda, GlobalPublishersTz

Family And Friends Pay Respect At Rapper Heavy D’s Funeral






Rapper Heavy D, who passed unexpectedly from complications with pneumonia, was remembered through laughs and tears at his funeral service this weekend with family and friends in attendance. The funeral service was held in his hometown of Mt. Vernon, New York and celebs including Usher, Diddy, and Jay Z came out to pay respect to a man that has inspired so many careers. President Barak Obama even wrote a letter of encouragement to those close to the legendary rapper.

“We extend our heartfelt condolences at this difficult time. He will be remembered for his infectious optimism and many contributions to American music. Please know that you and your family will be in our thoughts and prayers,” read the note from the Obamas, which the Rev. Al Sharpton quoted during the service while Heavy D’s only 11-year old daughter stood beside the Reverand. His daughter also made a brave speech telling the attendees her father is “still here, not in the flesh, but in the spirit.”

The funeral was star-studded with celebs in attendance such as Mary J. Blige, Will and Jada Smith, Queen Latifah, Q-Tip,a nd John Legend to just name a few. Diddy spoke at the funeral and let the audience know how much Heavy D meant to him as a friend. He is quoted saying:

“He became my friend. He became my brother, and I’m not talking about friend-brother like we cavalierly use the word, I’m talking about a real friend, a real brother,” Diddy said. “Somebody I shared my dreams and my secrets with, somebody that’s been there for me at my lowest point, my darkest hour when nobody wanted to be beside me.”

Check pictures below from some of the celebs who attended the service.

Rest in Peace Heavy D! You will always be missed…..

Spotted @concreteloop