Wednesday, November 23, 2011

Breaking News: Ajali Mbaya River Side Ubungo

katikati ni gari ndogo nyekundu iliyokandamizwa chini ya gari kubwa jeupe la mafuta. kuna mtu yuko hai bado hajatolewa. habari zinasema watu watatu wamekufa kati yao mama mjamzito ambaye kichwa na kiwiliwili vimetengana



Baadhi ya watu katika eneo la ajali
Na Mjengwablog

No comments:

Post a Comment