Wednesday, June 22, 2011

JANDO -MILA NA DESTURI INAYODUMISHWA MTWARA

Ni mila na utamaduni ambao bado unadumishwa na kuendelezwa katika vijini kadhaa nchini Tanzania. Picha hii imepigwa na Juma Mtanda katika kijiji kimoja huko mkoani Mtwara alipokuta zoezi la jando likiendelea.

source: http://www.wavuti.com/4/post/2011/06/jando-mila-na-desturi-inayodumishwa-mtwara.html#ixzz1PzXtkCZD

No comments:

Post a Comment