Monday, June 25, 2012

GARI LA BIA LAPATA AJALI SUMBAWANGA...WANANCHI WALEWA CHAKARI





Kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mchukuzi.....baada ya ajaali hiyo kutokea kijiji cha Mshani km 19 kutoka Laela-Sumbawanga ilikuwa kama sherehe kwa wengine kwani wanakijiji walivamia gari na wakaruhusiwa kunywa watakavyo ila hakuna kuondoka na chupa.....asubuhi watu walikuwa wamelewa chakari...Maisha bora kwa kila Mtanzania

Habari na Rural & Urban Blog


No comments:

Post a Comment