
Wengine juu ya miti hali mradi wapate kuona matukio yote yatakayojiri.


Umati....



................!?


Iliwabidi wengine kuacha hata ndala 'kanda2' zao zilizonasa kwenye tope lilikuwepo kwenye maeneo ya makaburi ya Kinondoni

Joti kutoka Ze Komedi

Wakuvanga na Mpoki pia walikuwepo
Kamanda Mtatiro


Jerry Mullo akifuatiria mazishi kwa umakini
Barabara yaKinondoni ilifungwa kwa muda
Habari Picha na Mjengwa Blog
 
 
 
Kanumba the great hakunaga zaidi yake..wengi tutajiuliza umati wote uliosoneneka kwa mauti yake, kinyume chake ndiyo furaha na mshangao aliopokelewa nao kule mbinguni pahala pa furaha ya milele na akapumzike kwa aman...
ReplyDelete