Wednesday, December 28, 2011

TIMBWILI LA MAFURIKO LAHAMIA MOROGORO




BAADA ya jiji la Dar es Salaam kukumbwa na mafuriko yaliyosababisha vifo vya makumi ya watu na kuharibu nyumba nyingi za wakazi wa jiji hilo, mchana wa leo hali hiyo imehamia mkoani Morogoro ambapo baadhi ya nyumba za watu, likiwemo soko kuu la Manispaa ya Morogoro yamekumbwa na mafuriko makubwa kufuatia mvua kubwa zilizonyesha kwa muda wa dakika 45 mfululizo.

PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO

No comments:

Post a Comment