Saturday, December 10, 2011
Thursday, December 8, 2011
T-Pain Says “Lil Wayne Is Over The Idea Of Making A Album Together”

T-Pain says fans shouldn’t get too excited about a possible collaboration album with rap superstar Lil Wayne. The hip-hop singer tells Rap-Up that his joint effort with Weezy came to an end when Wayne went to jail for a weapons charge. T-Pain explains that they had finished most of the records before Lil Wayne’s legal problems took over everything. Here’s what he said:
“When [Wayne] got into his litte trouble, that was right at the peak of when we was like, ‘OK, let’s go. Let’s do this now.’ He finally had time, then he went to jail,” said Pain, who recorded eight or nine songs for the project before it was scrapped. While he’s still up for it, he doesn’t think Weezy is interested. “Things happen and I’m pretty sure he’s over the whole idea now. I don’t even be bringing it up to him no more. I’m pretty sure he’s way past that right now. He’s doing big things.” However, the two did collaborate for rEVOLVEr on the in-your-face anthem “Bang Bang Pow Pow,” produced by T-Minus.
Hummm I wonder what that means? I can smell a story coming. While a joint album may never happen, fans can still enjoy Lil Wayne on T-Pain’s new album “Revolver.” The emcee appears on the song “Bang Bang Pow Pow.” T-Pain’s “Revolver” is in stores now.
“When [Wayne] got into his litte trouble, that was right at the peak of when we was like, ‘OK, let’s go. Let’s do this now.’ He finally had time, then he went to jail,” said Pain, who recorded eight or nine songs for the project before it was scrapped. While he’s still up for it, he doesn’t think Weezy is interested. “Things happen and I’m pretty sure he’s over the whole idea now. I don’t even be bringing it up to him no more. I’m pretty sure he’s way past that right now. He’s doing big things.” However, the two did collaborate for rEVOLVEr on the in-your-face anthem “Bang Bang Pow Pow,” produced by T-Minus.
Hummm I wonder what that means? I can smell a story coming. While a joint album may never happen, fans can still enjoy Lil Wayne on T-Pain’s new album “Revolver.” The emcee appears on the song “Bang Bang Pow Pow.” T-Pain’s “Revolver” is in stores now.

KAULI tata iliyotolewa na baadhi ya wanawake wanaojiuza mitaani usiku, ‘machangudoa’ imeacha mjadala mzito baada ya kuwataja waheshimiwa wabunge kwamba ni miongoni mwa wateja wao wakubwa.
Uchunguzi wa kina uliofanywa na gazeti hili siku za hivi karibuni juu ya biashara hiyo haramu jijini Dar, umebaini siri hiyo nzito ya baadhi ya waheshimiwa wabunge kuwanunua akina dadapoa hao.
Amani, lilifanikisha uchunguzi huo kwa kuzungumza na madadapoa ambao wengi wao walitoboa siri ya jinsi wanavyofanya biashara na wabunge, huku wengine wakitaja majina na tabia zao wawapo ‘kazini’.
Katika majina yaliyotajwa, gazeti hili limejumuisha na kupata jawabu kwamba memba watano wa mjengo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (tunawahifadhi kwa sasa) ni miongoni mwa wateja ‘waadilifu’ wa biashara ya ukahaba.
Wabunge hao, wawili wanawakilisha majimbo ya Kanda ya Ziwa, mmoja Kanda ya Kati na wengine Kaskazini Mashariki, wanadaiwa kufika eneo la Afrikasana, Sinza, Dar es Salaam mara kwa mara na kujichukulia machangudoa wa kukesha nao au wakati mwingine kwa ‘short-time’.
Miongoni mwa wabunge hao, mmoja pekee anayetokea Kanda ya Ziwa ndiye kijana, wengine wanne ni watu wazima, huku wawili wakiwa ni wazoefu ndani ya mjengo kwa zaidi ya muongo mmoja.
AMANI MZIGONI
Baada ya vyanzo mbalimbali kutoa taarifa za kuridhisha, gazeti hili namba moja kwa ufutiliaji wa ishu za kijamii, liliingia mitaani na kuzungumza na raia wema kuhusu ufahamu wao kama kuna baadhi ya wabunge wao hutenda dhambi na machangudoa.
Aidha, uchunguzi ulianzia kwa watu ambao walishindwa kathibitisha au kukataa juu ya uwepo wa madai hayo.
“Duh! Unajua huwezi kuthibitisha wala kukataa kwani suala hilo ni la mtu binafsi,” alisema Mama Nancy wa Magomeni jijini Dar.
USO KWA USO NA MACHANGUDOA
Mazungumzo ya kati ya Amani na machangudoa, yalikwenda kama ifuatavyo;
Ashura wa Tandika: “Ni kweli, nani amekwambia ni siri? Mbona ni wateja wetu wakubwa?”
Husna wa Sinza: “Wapo wabunge wanatuchukua kila siku, au unataka tukutajie majina? (akataja ila tumeyahifadhi).”
Sofia wa Buguruni: “Ukweli ni kwamba, waheshimiwa tena wengine wana vitambi vyao wanakuja kutuchukua, tena ni hodari sana kwa ngono tofauti na mwonekano wao.
“Kikubwa ambacho kinawafanya wasitirike na macho ya watu, licha ya giza la usiku, lakini pia magari yao yenye vioo vya giza (tinted) ndiyo kinga yao kubwa.”
Machangudoa hao walizidi kumimina siri nzito zaidi ambapo walisema kuwa ukiachilia mbali wabunge hao wenye vitambi, pia wapo waheshimiwa wenye umri mdogo.
“Yaani usiwaone wana umri mdogo ukadhani wanashobokea mademu wa uzunguni, wao pia ni wateja wetu wakubwa,” alisema Maria wa Kinondoni.
WABUNGE KIZIMBANI
Ili kupata hitimisho la uchunguzi huo, gazeti hili liliamua ‘kujipeperusha’ angani kuwasaka baadhi ya waheshimiwa wa Bunge la Tanzania ili kusikia misimamo yao kuhusu madai ya machangu hao. Pia, kuwauliza kwa nini hawatungi sheria itakayowaondoa makahaba hao barabarani?
Mh. John Komba:
Huyu ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi(CCM), alisema:
“Unajua (akilitaja jina la mwandishi) wengi wanaochukua machangudoa ni wale wenye fedha kwa maana ya wafanyabiashara wakubwa na wafanyakazi wengine, lakini wabunge sina hakika.”
Aidha, mwandishi wetu alimbana zaidi kwa kumuuliza kama ni fedha mbona hata wabunge wanazo?
“Mh…mmm...aaah unajua hata wabunge si malaika labda kweli wapo, lakini mimi siamini, nadhani ni kutaka kuwachafua majina tu, ninachoona sheria ifuate mkondo wake juu ya hawa makahaba.”
Mbunge wa pili kupandishwa ‘kizimbani’ na gazeti hili ni wa Jimbo la Temeke (CCM) Mh. Abbas
Mtemvu:
“Wao ndiyo wanajua hivyo, unajua hata wabunge ni watu kama wengine, yawezekana ni kweli.”
David Kafulila; yeye ni Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi):
“Hilo ni suala la aibu na ni siri ya mtu, hivyo siwezi kulizungumzia sana lakini nataka niseme kuwa, siwezi kukataa wabunge hawahusiki maana ni binadamu wa kawaida lakini kama nilivyosema awali, ni jambo la siri mno na aibu.
“Usimamizi wa sheria ni mbovu kwa Tanzania, watu hao (makahaba) walitakiwa wapigwe marufuku.”
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan alisema: “Mh! Unajua kama kuna mbunge anafanya hivyo ni siri yake kwa uwazi hawezi.”
Hata hivyo, kizimba kwa wabunge hakikuishia hapo kwani mwandishi alimtafuta Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Mh. John Mnyika ambaye aliposomewa mashtaka, badala ya kujibu alidai yuko msibani.
Uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika juu ya suala hilo na tutakapokuwa tayari gazeti hili litaanika kila kitu.
Biashara haramu ya uchangudoa inazidi kushamiri kila kukicha hasa katika Jiji la Dar es Salaam, hivyo serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka-Mhariri.
Na Brighton Masalu, GPL
Uchunguzi wa kina uliofanywa na gazeti hili siku za hivi karibuni juu ya biashara hiyo haramu jijini Dar, umebaini siri hiyo nzito ya baadhi ya waheshimiwa wabunge kuwanunua akina dadapoa hao.
Amani, lilifanikisha uchunguzi huo kwa kuzungumza na madadapoa ambao wengi wao walitoboa siri ya jinsi wanavyofanya biashara na wabunge, huku wengine wakitaja majina na tabia zao wawapo ‘kazini’.
Katika majina yaliyotajwa, gazeti hili limejumuisha na kupata jawabu kwamba memba watano wa mjengo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (tunawahifadhi kwa sasa) ni miongoni mwa wateja ‘waadilifu’ wa biashara ya ukahaba.
Wabunge hao, wawili wanawakilisha majimbo ya Kanda ya Ziwa, mmoja Kanda ya Kati na wengine Kaskazini Mashariki, wanadaiwa kufika eneo la Afrikasana, Sinza, Dar es Salaam mara kwa mara na kujichukulia machangudoa wa kukesha nao au wakati mwingine kwa ‘short-time’.
Miongoni mwa wabunge hao, mmoja pekee anayetokea Kanda ya Ziwa ndiye kijana, wengine wanne ni watu wazima, huku wawili wakiwa ni wazoefu ndani ya mjengo kwa zaidi ya muongo mmoja.
AMANI MZIGONI
Baada ya vyanzo mbalimbali kutoa taarifa za kuridhisha, gazeti hili namba moja kwa ufutiliaji wa ishu za kijamii, liliingia mitaani na kuzungumza na raia wema kuhusu ufahamu wao kama kuna baadhi ya wabunge wao hutenda dhambi na machangudoa.
Aidha, uchunguzi ulianzia kwa watu ambao walishindwa kathibitisha au kukataa juu ya uwepo wa madai hayo.
“Duh! Unajua huwezi kuthibitisha wala kukataa kwani suala hilo ni la mtu binafsi,” alisema Mama Nancy wa Magomeni jijini Dar.
USO KWA USO NA MACHANGUDOA
Mazungumzo ya kati ya Amani na machangudoa, yalikwenda kama ifuatavyo;
Ashura wa Tandika: “Ni kweli, nani amekwambia ni siri? Mbona ni wateja wetu wakubwa?”
Husna wa Sinza: “Wapo wabunge wanatuchukua kila siku, au unataka tukutajie majina? (akataja ila tumeyahifadhi).”
Sofia wa Buguruni: “Ukweli ni kwamba, waheshimiwa tena wengine wana vitambi vyao wanakuja kutuchukua, tena ni hodari sana kwa ngono tofauti na mwonekano wao.
“Kikubwa ambacho kinawafanya wasitirike na macho ya watu, licha ya giza la usiku, lakini pia magari yao yenye vioo vya giza (tinted) ndiyo kinga yao kubwa.”
Machangudoa hao walizidi kumimina siri nzito zaidi ambapo walisema kuwa ukiachilia mbali wabunge hao wenye vitambi, pia wapo waheshimiwa wenye umri mdogo.
“Yaani usiwaone wana umri mdogo ukadhani wanashobokea mademu wa uzunguni, wao pia ni wateja wetu wakubwa,” alisema Maria wa Kinondoni.
WABUNGE KIZIMBANI
Ili kupata hitimisho la uchunguzi huo, gazeti hili liliamua ‘kujipeperusha’ angani kuwasaka baadhi ya waheshimiwa wa Bunge la Tanzania ili kusikia misimamo yao kuhusu madai ya machangu hao. Pia, kuwauliza kwa nini hawatungi sheria itakayowaondoa makahaba hao barabarani?
Mh. John Komba:
Huyu ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi(CCM), alisema:
“Unajua (akilitaja jina la mwandishi) wengi wanaochukua machangudoa ni wale wenye fedha kwa maana ya wafanyabiashara wakubwa na wafanyakazi wengine, lakini wabunge sina hakika.”
Aidha, mwandishi wetu alimbana zaidi kwa kumuuliza kama ni fedha mbona hata wabunge wanazo?
“Mh…mmm...aaah unajua hata wabunge si malaika labda kweli wapo, lakini mimi siamini, nadhani ni kutaka kuwachafua majina tu, ninachoona sheria ifuate mkondo wake juu ya hawa makahaba.”
Mbunge wa pili kupandishwa ‘kizimbani’ na gazeti hili ni wa Jimbo la Temeke (CCM) Mh. Abbas
Mtemvu:
“Wao ndiyo wanajua hivyo, unajua hata wabunge ni watu kama wengine, yawezekana ni kweli.”
David Kafulila; yeye ni Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi):
“Hilo ni suala la aibu na ni siri ya mtu, hivyo siwezi kulizungumzia sana lakini nataka niseme kuwa, siwezi kukataa wabunge hawahusiki maana ni binadamu wa kawaida lakini kama nilivyosema awali, ni jambo la siri mno na aibu.
“Usimamizi wa sheria ni mbovu kwa Tanzania, watu hao (makahaba) walitakiwa wapigwe marufuku.”
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mh. Iddi Azzan alisema: “Mh! Unajua kama kuna mbunge anafanya hivyo ni siri yake kwa uwazi hawezi.”
Hata hivyo, kizimba kwa wabunge hakikuishia hapo kwani mwandishi alimtafuta Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), Mh. John Mnyika ambaye aliposomewa mashtaka, badala ya kujibu alidai yuko msibani.
Uchunguzi wa kina unaendelea kufanyika juu ya suala hilo na tutakapokuwa tayari gazeti hili litaanika kila kitu.
Biashara haramu ya uchangudoa inazidi kushamiri kila kukicha hasa katika Jiji la Dar es Salaam, hivyo serikali inatakiwa kuchukua hatua za haraka-Mhariri.
Na Brighton Masalu, GPL
KITAMBI NOMA BONANZA

Ni Miaka 50 ya Uhuru huku tukipunguza VITAMBI...KITAMBI NOMA BONANZA inakuletea bonge la bonanza la soka sambasamba na utambulisho wa KITAMBI NOMA TEAM. Basi kwa pamoja tukutane siku ya kesho Ijumaa Tar: 09/12/2011 katika viwanja vya shule ya msingi SUYE kuanzia saa 2 asubuhi. Nyote mnakaribishwa!
Wednesday, December 7, 2011
Monday, December 5, 2011


AMA kweli dunia uwanja wa fujo! Biharusi mtarajiwa mjini hapa, Sofia Majid amejikuta akiangua kilio baada ya kundi la wasichana watatu la jijini Dar es Salaam almaarufu Welawela kumwaga radhi kwenye sherehe ya ‘kitchen party’ yake.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda lilijiri kwenye Ukumbi wa Nashera mjini hapa hivi karibuni mbele ya Mbunge wa Viti Maalum Vijana CCM, Mkoa wa Arusha Mhe. Catherine Magige.
Welawela, wakiwa na mwimbaji wa taarabu aliyealikwa kutumbuiza, Afua Suleiman walipopewa nafasi ya kutumbuiza na ‘emsii’ wa shughuli hiyo, Hawa Chamng’anda walivamia kitanda cha zawadi cha biharusi na kuanza kucheza Makhirikhiri kwa kugaragazana kwa staili ya tendo la ndoa na kukiacha kitanda hicho kikiwa hakitamaniki kwa kukifinyanga.
Kitendo hicho, pamoja na burudani waliyoitoa vilimfanya biharusi kushindwa kujizuia na kuangua kilio kweupe.
Ijumaa Wikienda lilipotaka kusikia neno la biharusi huyo hakuwa tayari.
Na Dunstan Shekidele, Morogoro - GPL
Tukio hilo lililoshuhudiwa na The Biggest IQ, Ijumaa Wikienda lilijiri kwenye Ukumbi wa Nashera mjini hapa hivi karibuni mbele ya Mbunge wa Viti Maalum Vijana CCM, Mkoa wa Arusha Mhe. Catherine Magige.
Welawela, wakiwa na mwimbaji wa taarabu aliyealikwa kutumbuiza, Afua Suleiman walipopewa nafasi ya kutumbuiza na ‘emsii’ wa shughuli hiyo, Hawa Chamng’anda walivamia kitanda cha zawadi cha biharusi na kuanza kucheza Makhirikhiri kwa kugaragazana kwa staili ya tendo la ndoa na kukiacha kitanda hicho kikiwa hakitamaniki kwa kukifinyanga.
Kitendo hicho, pamoja na burudani waliyoitoa vilimfanya biharusi kushindwa kujizuia na kuangua kilio kweupe.
Ijumaa Wikienda lilipotaka kusikia neno la biharusi huyo hakuwa tayari.
Na Dunstan Shekidele, Morogoro - GPL

VILIO, majozi na huzuni, bado vimelizunguka Jiji la Arusha kufuatia kifo cha staa mkubwa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo mwenye ladha ya asili ya kabila la Wamasai, Abel Loshilaa Motika a.k.a Mr Ebo (37), aliyefariki usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita, Desemba, Mosi mwaka huu.
NINI KIMEMUUA?
Swali lililokuwa likizunguka, lilihoji ni nini kilichomuua Mr. Ebbo aliyekuwa amelazwa kwa muda katika Hospitali ya Mission iliyopo nje kidogo ya Jiji la Arusha, Usa River wilayani Arumeru angali bado akipendwa na mashabiki wake?
UPUNGUFU WA DAMU NI UGONJWA GANI?
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu aliyezungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda katika boma la Motika maeneo ya Masai Camp, Moshilaa Motika, mdogo wake alisumbuliwa na upungufu wa damu mwilini kwa muda mrefu.
NI ANEMIA AU LEUKEMIA?
Gazeti hili liliwadodosa madaktari bingwa juu ya hali hiyo kiafya ambapo magonjwa yanayosumbua wengi hivi sasa ya Anemia na Leukemia yalitajwa.
CHANZO CHA IJUMAA WIKIENDA
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Mr. Ebbo amekuwa akisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa huo ambapo alikuwa akiishiwa damu, lakini cha kushangaza, muda mfupi baada ya kuongezewa nyingine, bado hali ilibaki vilevile.
DAMU ILIKUWA INAKWENDA WAPI?
Chanzo hicho kilidai kuwa ilifika wakati hata madaktari wakawa wanashangaa damu inakwenda wapi kufuatia hali ya kuongezewa nyingine, lakini vipimo vikaonesha kama hajaongezewa chochote.
DAMU YAPELEKWA NJE YA NCHI
Ilidaiwa kuwa katika harakati za kupigania uhai wa Mr. Ebbo aliyetamba na kibwagizo cha ‘Mi Mmasai Bana’, madaktari walifikia hatua ya kupeleka damu yake nje ya nchi kwa ajili ya vipimo, lakini wataalam waligonga mwamba.
AHAMISHIWA ARUSHA
Habari zilizidi kudai kuwa baada ya hali kuzidi kuwa mbaya, alihamishiwa Arusha kwani baadhi ya ndugu walidhani kinachosababisha aumwe ni mazingira ya Jiji la Tanga alikokuwa akiishi na kuendesha shughuli zake ikiwemo studio yake ya muziki ya Motika Records.
Hata hivyo, pamoja na jitihada zote hizo ndani na nje ya nchi, Mr. Ebbo aliyekuwa amejipanga vilivyo kwenye gemu alitangulia mbele ya haki.
ARUSHA YAZIZIMA
Baada ya kutangazwa kwa kifo cha Mr. Ebbo ambaye ukiwa umekasirika na ukasikia wimbo wake lazima ucheke, Jiji la Arusha lilizizima kwa majonzi huku msanii huyo akikumbukwa zaidi kwa vichekesho vyake.
KUZIKWA LEO
Mr. Ebbo atazikwa leo katika boma la Motika maeneo ya Masai Camp Moshono, nje kidogo ya Jiji la Arusha yakitanguliwa na misa maalumu ya kuuombea mwili wa merehemu katika Kanisa la Lutheran lililopo Kata ya Olorieni.
HISTORIA
Mr Ebbo alikuwa mtoto wa 10 kati ya watoto 11 wa mzee Loshilaa Motika (85), ambapo kati yao wawili ni marehemu akiwemo Mr. Ebbo ambaye ameacha mke na watoto watatu.
KUTOKA IJUMAA WIKIENDA
Mungu ametoa na Mungu ametwaa, jina lake lihimidiwe. Rest In Peace Mr. Ebbo!
Na Joseph Ngilisho, Arusha - GPL
NINI KIMEMUUA?
Swali lililokuwa likizunguka, lilihoji ni nini kilichomuua Mr. Ebbo aliyekuwa amelazwa kwa muda katika Hospitali ya Mission iliyopo nje kidogo ya Jiji la Arusha, Usa River wilayani Arumeru angali bado akipendwa na mashabiki wake?
UPUNGUFU WA DAMU NI UGONJWA GANI?
Kwa mujibu wa kaka wa marehemu aliyezungumza na The Biggest IQ Paper, Ijumaa Wikienda katika boma la Motika maeneo ya Masai Camp, Moshilaa Motika, mdogo wake alisumbuliwa na upungufu wa damu mwilini kwa muda mrefu.
NI ANEMIA AU LEUKEMIA?
Gazeti hili liliwadodosa madaktari bingwa juu ya hali hiyo kiafya ambapo magonjwa yanayosumbua wengi hivi sasa ya Anemia na Leukemia yalitajwa.
CHANZO CHA IJUMAA WIKIENDA
Kwa mujibu wa chanzo chetu, Mr. Ebbo amekuwa akisumbuliwa kwa muda mrefu na ugonjwa huo ambapo alikuwa akiishiwa damu, lakini cha kushangaza, muda mfupi baada ya kuongezewa nyingine, bado hali ilibaki vilevile.
DAMU ILIKUWA INAKWENDA WAPI?
Chanzo hicho kilidai kuwa ilifika wakati hata madaktari wakawa wanashangaa damu inakwenda wapi kufuatia hali ya kuongezewa nyingine, lakini vipimo vikaonesha kama hajaongezewa chochote.
DAMU YAPELEKWA NJE YA NCHI
Ilidaiwa kuwa katika harakati za kupigania uhai wa Mr. Ebbo aliyetamba na kibwagizo cha ‘Mi Mmasai Bana’, madaktari walifikia hatua ya kupeleka damu yake nje ya nchi kwa ajili ya vipimo, lakini wataalam waligonga mwamba.
AHAMISHIWA ARUSHA
Habari zilizidi kudai kuwa baada ya hali kuzidi kuwa mbaya, alihamishiwa Arusha kwani baadhi ya ndugu walidhani kinachosababisha aumwe ni mazingira ya Jiji la Tanga alikokuwa akiishi na kuendesha shughuli zake ikiwemo studio yake ya muziki ya Motika Records.
Hata hivyo, pamoja na jitihada zote hizo ndani na nje ya nchi, Mr. Ebbo aliyekuwa amejipanga vilivyo kwenye gemu alitangulia mbele ya haki.
ARUSHA YAZIZIMA
Baada ya kutangazwa kwa kifo cha Mr. Ebbo ambaye ukiwa umekasirika na ukasikia wimbo wake lazima ucheke, Jiji la Arusha lilizizima kwa majonzi huku msanii huyo akikumbukwa zaidi kwa vichekesho vyake.
KUZIKWA LEO
Mr. Ebbo atazikwa leo katika boma la Motika maeneo ya Masai Camp Moshono, nje kidogo ya Jiji la Arusha yakitanguliwa na misa maalumu ya kuuombea mwili wa merehemu katika Kanisa la Lutheran lililopo Kata ya Olorieni.
HISTORIA
Mr Ebbo alikuwa mtoto wa 10 kati ya watoto 11 wa mzee Loshilaa Motika (85), ambapo kati yao wawili ni marehemu akiwemo Mr. Ebbo ambaye ameacha mke na watoto watatu.
KUTOKA IJUMAA WIKIENDA
Mungu ametoa na Mungu ametwaa, jina lake lihimidiwe. Rest In Peace Mr. Ebbo!
Na Joseph Ngilisho, Arusha - GPL
BAADA YA ‘USWAZI’ SASA MUSSA AJA NA ‘SAFARI YA NUNGWI’.

*AZUNGUMZA NA MO BLOG NA KUWEKA WAZI MIKAKATI YAKE IJAYO. * ASHAURI ABIRIA KUFAHAMISHWA MBINU ZA KUJIOKOA
MO BLOG: Nini kitakuwa tofauti na vipindi vingine vya TV ambavyo umewahi kufanya.?
MUSSA HUSSEIN: Kitu ambacho kitakuwa tofauti na show nyingine ambazo mimi nimewahi kufanya ni kwamba hapa nitakupa stori za ajali za kuzama kwa meli sio ya Nungwi pekee bali hata zilizopita nikikuonyesha matukio yenyewe yalivyokuwa tofauti na unaposoma kwenye gazeti au kusikia redioni. Kwa mfano katika taarifa ya habari utaonyeshwa kwa sekunde 30 tu mchezo umekwisha.
Hivyo huwezi kugundua haya matukio ni makubwa au ni madogo kiasi gani.
MO BLOG: Nini kimekufanya ufikie maamuzi ya kufanya kipindi cha namna hii kinachoonyesha matukio halisi au huridhishwi na jinsi taarifa za majanga zinavyotolewa?
MUSSA HUSSEIN: Kwanza watanzania hatuna utamaduni wa kusoma, ila ninachoshukuru Mungu kwa sasa hivi kuna ongezeko kubwa la watanzania wanaotazama TV au mitandao hii mingine iliyopo, kwa kutokea hapo nikaona kwa sababu kila siku tunatoa lawama kwa serikali wakati mwingine tunalaumiana wenyewe kwa wenyewe ipo haja ya kupeana elimu wenyewe kuhusiana na majanga yanayotokea kila mara ikiwemo kwenye maji, barabarani au popote pale.
Kwa sababu kila siku anayeandika anasema Ajali za Barabarani zitatumaliza, Ajali za angani zitatumaliza, Ajali za majini zitatumaliza kila siku ni hivyo hivyo. Na ukiangalia hizi ajali za sijui meli, treni, mabasi zinaua mamia ya watu.
Kusoma Mahojiano yote bonyeza hapa: http://dewjiblog.com/2011/12/04/ni-mussa-hussein-tena-baada-ya-%E2%...
MO BLOG: Nini kitakuwa tofauti na vipindi vingine vya TV ambavyo umewahi kufanya.?
MUSSA HUSSEIN: Kitu ambacho kitakuwa tofauti na show nyingine ambazo mimi nimewahi kufanya ni kwamba hapa nitakupa stori za ajali za kuzama kwa meli sio ya Nungwi pekee bali hata zilizopita nikikuonyesha matukio yenyewe yalivyokuwa tofauti na unaposoma kwenye gazeti au kusikia redioni. Kwa mfano katika taarifa ya habari utaonyeshwa kwa sekunde 30 tu mchezo umekwisha.
Hivyo huwezi kugundua haya matukio ni makubwa au ni madogo kiasi gani.
MO BLOG: Nini kimekufanya ufikie maamuzi ya kufanya kipindi cha namna hii kinachoonyesha matukio halisi au huridhishwi na jinsi taarifa za majanga zinavyotolewa?
MUSSA HUSSEIN: Kwanza watanzania hatuna utamaduni wa kusoma, ila ninachoshukuru Mungu kwa sasa hivi kuna ongezeko kubwa la watanzania wanaotazama TV au mitandao hii mingine iliyopo, kwa kutokea hapo nikaona kwa sababu kila siku tunatoa lawama kwa serikali wakati mwingine tunalaumiana wenyewe kwa wenyewe ipo haja ya kupeana elimu wenyewe kuhusiana na majanga yanayotokea kila mara ikiwemo kwenye maji, barabarani au popote pale.
Kwa sababu kila siku anayeandika anasema Ajali za Barabarani zitatumaliza, Ajali za angani zitatumaliza, Ajali za majini zitatumaliza kila siku ni hivyo hivyo. Na ukiangalia hizi ajali za sijui meli, treni, mabasi zinaua mamia ya watu.
Kusoma Mahojiano yote bonyeza hapa: http://dewjiblog.com/2011/12/04/ni-mussa-hussein-tena-baada-ya-%E2%...
Manchester clubs drawn together

Manchester City have been drawn to play against Manchester United in the third round of the FA Cup.
City knocked United out of the competition at last season's semi-final stage before going on to win the competition, and defeated their local rivals 6-1 at Old Trafford in their most recent meeting, so the Red Devils will be eager to get revenge when the teams meet at Eastlands next month.
Arsenal, who last won the competition in 2005, will take on Championship side Leeds United at Emirates Stadium, while 2010 winners Chelsea play Portsmouth at Stamford Bridge.
Tottenham have a home tie against League Two side Cheltenham, while Liverpool will play either Southend or Oldham at Anfield.
Stoke, last season's defeated finalists, will make the trip to Gillingham and Everton will be eager to avoid embarrassment in their game against Conference side Tamworth at Goodison Park. Newcastle also host Blackburn in an all-Premier League tie.
Ties will be played on the weekend of January 7-8.
Games to be played weekend of January 7
Middlesbrough v Shrewsbury
Nottingham Forest v Leicester
Manchester City v Manchester United
Dag & Red or Walsall v Millwall
Crawley v Bristol City
Doncaster v Notts County
Bristol Rovers v Aston Villa
Tottenham v Cheltenham
Sheffield Wednesday v West Ham
MK Dons v Queens Park Rangers
Hull v Ipswich
Coventry v Southampton
Brighton v Wrexham
Fulham v Charlton
Birmingham v Wolverhampton
Norwich v Burnley
Arsenal v Leeds
Derby v Crystal Palace
Fleetwood or Yeovil v Blackpool
Swindon v Wigan
Barnsley v Swansea
Chelmsford or Macclesfield v Bolton
Newcastle v Blackburn
Everton v Tamworth
Sheffield United v Salisbury or Grimsby
Liverpool v Southend or Oldham
Gillingham v Stoke
Chelsea v Portsmouth
Watford v Bradford
Peterborough v Sunderland
West Brom v Cardiff
Reading v Stevenage
City knocked United out of the competition at last season's semi-final stage before going on to win the competition, and defeated their local rivals 6-1 at Old Trafford in their most recent meeting, so the Red Devils will be eager to get revenge when the teams meet at Eastlands next month.
Arsenal, who last won the competition in 2005, will take on Championship side Leeds United at Emirates Stadium, while 2010 winners Chelsea play Portsmouth at Stamford Bridge.
Tottenham have a home tie against League Two side Cheltenham, while Liverpool will play either Southend or Oldham at Anfield.
Stoke, last season's defeated finalists, will make the trip to Gillingham and Everton will be eager to avoid embarrassment in their game against Conference side Tamworth at Goodison Park. Newcastle also host Blackburn in an all-Premier League tie.
Ties will be played on the weekend of January 7-8.
Games to be played weekend of January 7
Middlesbrough v Shrewsbury
Nottingham Forest v Leicester
Manchester City v Manchester United
Dag & Red or Walsall v Millwall
Crawley v Bristol City
Doncaster v Notts County
Bristol Rovers v Aston Villa
Tottenham v Cheltenham
Sheffield Wednesday v West Ham
MK Dons v Queens Park Rangers
Hull v Ipswich
Coventry v Southampton
Brighton v Wrexham
Fulham v Charlton
Birmingham v Wolverhampton
Norwich v Burnley
Arsenal v Leeds
Derby v Crystal Palace
Fleetwood or Yeovil v Blackpool
Swindon v Wigan
Barnsley v Swansea
Chelmsford or Macclesfield v Bolton
Newcastle v Blackburn
Everton v Tamworth
Sheffield United v Salisbury or Grimsby
Liverpool v Southend or Oldham
Gillingham v Stoke
Chelsea v Portsmouth
Watford v Bradford
Peterborough v Sunderland
West Brom v Cardiff
Reading v Stevenage
Subscribe to:
Comments (Atom)
















